
Picha ya siku: Sugu na Lady JayDee enzi hizooo! Watu wametoka mbali!
Picha ya siku: Mh. Joseph "Sugu" aka Mr II na Lady JayDee wakitumbuiza enzi za ...more

Ghasia Kubwa Zazuka Mtwara Tena
HALI ya usalama mkoani Mtwara ni tete. Mtu mmoja anaaminika kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa kutokana na vurugu kubwa zilizozuka jana ...more

Chissano Akemea "Urais wa Maisha" Afrika
RAIS Mstaafu wa Msumbiji, Joachim Chissano amewataka viongozi wa sasa wa Bara la Afrika kuwa tayari kutetea na kuenzi misingi ya utawala ...more

Vurugu Mtwara, Kikwete atema cheche
RAIS Jakaya Kiwete amesema serikali itawakamata wanasiasa wanaochochea vurugu mkoani Mtwara kwa kisingizio cha kuzuia gesi isitoke mkoani humo. Rais alitoa kauli ...more

Polisi Wadai Ujumbe wa Simu Aliotumiwa Lema na RC Umetoka Nje
JESHI la Polisi mkoani hapa, limedai kuwa ujumbe mfupi wa maandishi aliodai kutumiwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema umetumwa na mtandao ...more

VIDEO: Mtangazaji anyonya matiti laivu on TV ili kuonja maziwa ya mwanamke
Mtangazaji wa kituo kimoja cha Televisheni nchini Uholanzi aliacha watazamaji wamepigwa na butwaa baada ya kunyonya matiti na kunywa maziwa moja kwa ...more

Mbunge apendekeza utawala wa majimbo; aambiwa ayapeleke Tume ya Katiba
Mh. MachaliMBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR –Mageuzi) ametakiwa kuwasilisha mawazo yake ya kuanzisha mfumo wa utawala wa majimbo, yatakayoongozwa ...more

EAC ni kwa maslahi ya serikali na wafanyabiashara wakubwa; raia waachwa nje - Utafiti
Matokeo ya kwanza ya utafiti juu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeonyesha kwamba jumuiya hiyo iliundwa kama chombo kilichoandaliwa kuwepo kwa ...more

Kikwete akemea vikali vurugu Mtwara
Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewaonya watu wanaosababisha uvunjifu wa amani nchini humo kuwa watakamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.Onyo hilo linafuatia ...more

Mmoja afariki katika shambulizi la kigaidi London
Mtu mmoja ameuwawa katika shambulio la mapanga na washukiwa wawili wamepigwa risasi na polisi katika mtaa wa Woolwich, kusini mashariki ya London.Waziri ...more
Wanasiasa wafanya vurugu kukamatwa
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Said Mwema ameagiza askari kuhakikisha wanawakamata wanasiasa wanaofanya vurugu kwa visingizio vya siasa. Mwema ...more

Gereza la Wilaya 'lafurika’ wafungwa
GEREZA la Wilaya ya Rombo linakabiliwa na msongamano, hali inayosababisha kuhifadhi wastani wa watu 280 wakati lina uwezo wa watu 104 . ...more

Video & Tweet updates: Wanajeshi wanne, raia mmoja wathibitishwa kufariki Mtwara
Mtu mmoja amefariki dunia na kadhaa kujeruhiwa katika vurugu zilizoibuka mkoani Mtwara baada ya bajeti ya wizara ya nishati na madini kusomwa ...more

Photos: Ajali mbaya ya magari matatu Chang'ombe Dar
Jamaa wanaingiza kichwa kabisa ndani ya tanker kuchota mafuta.Ajali mbaya iliyohusisha magari matatu imetokea katika barabara ya Chang'ombe jijini Dar es ...more

Tetesi: Polisi wanne, raia kadhaa wauawa. Picha: Ofisi, ambulance zachomwa moto Vurugu za Mtwara
Ofisi zachomwa moto Magari ya manispaa nayo yachomwa moto Ambulance nayo yachomwa motoTAFADHALI TAMBUA: Habari hizi zinaripotiwa na baadhi ya wananchi ...more

Vurugu Mtwara! Nyumba za CCM, mwandishi TBC, zachomwa moto; Mabomu na risasi vyarindima
Photo: GlobalPublishers Kumezuka vurugu kubwa kati ya wananchi na Jeshi la polisi hali iliyopelekea Jeshi hilo kulazimika kutumia mabomu ya machozi kwa ...more

Kenya won’t crumble over Obama no-show
Kenya has played down the decision by US President Barrack Obama to snub it once again on his scheduled tour of Africa, ...more

Photo of the day: The only photo of Mandela & Obama
The inscription below the photograph, which was sent to Nelson Mandela by Barack Obama in 2010, reads: "To Nelson Mandela, an inspiration ...more

Photos: Diamond & Nay wa Mitego, behind the scenes na zaidi
Picha za show ya Diamond na Nay wa Mitego, katika uzinduzi wa "Muziki Gani" iliyofanyika wikiendi iliyopita zimesambaa katika blogs mbalimbali. Lakini ...more

Maisha ya Mr & Mrs SaJuKi hadharani
KATIKA Dunia shida raha mitihani vyote ni kwa ajili ya mwanadamu lakini hayo yote ujenga maana tu pale mambo hayo yanapompata mwenzako, ...more