Mwanafunzi wa chuo kikuu auawa akitoka kujisomea

Mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Shahada ya Uuguzi katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu John mkoani Dodoma ameuawa akitoka kujisomea.

Advertisement

Kamanda wa Polisi wa Mkoa, David Misime alimtaja mwanafunzi huyo kuwa ni Lydia Mzima (57) na kuongeza kuwa mwili wa mwanafunzi huyo uligundulika jana asubuhi karibu na
..Read More
Source: Ziro99
student
File-photo (picha na maktaba)