Recent Updates Toggle Comment Threads | Keyboard Shortcuts

  • Dreám 8:24 am on May 23, 2013  

    Picha ya siku: Sugu na Lady JayDee enzi hizooo! Watu wametoka mbali! 

    Picha ya siku: Mh. Joseph "Sugu" aka Mr II na Lady JayDee wakitumbuiza enzi za ujana.. Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 2:55 am on May 23, 2013  

    VIDEO: Mtangazaji anyonya matiti laivu on TV ili kuonja maziwa ya mwanamke 

    Mtangazaji wa kituo kimoja cha Televisheni nchini Uholanzi aliacha watazamaji wamepigwa na butwaa baada ya kunyonya matiti na kunywa maziwa moja kwa moja kutoka mama mmoja wakati wa kipindi chake.Mtangazaji huyo, Paul de Leeuw, alikuwa amealika Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 11:57 am on May 22, 2013  

    Photos: Diamond & Nay wa Mitego, behind the scenes na zaidi 

    Picha za show ya Diamond na Nay wa Mitego, katika uzinduzi wa "Muziki Gani" iliyofanyika wikiendi iliyopita zimesambaa katika blogs mbalimbali. Lakini kuna picha mpya, ambazo zimetoka katika mtandao wa Diamond mwenyewe, thisisdiamond.com, ambazo Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 11:12 am on May 22, 2013  

    Photos: Birthday party ya Ray The GreatestPicha zaidi nenda hapa. Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 11:03 am on May 22, 2013  

    Maisha ya Mr & Mrs SaJuKi hadharani 

    KATIKA Dunia shida raha mitihani vyote ni kwa ajili ya mwanadamu lakini hayo yote ujenga maana tu pale mambo hayo yanapompata mwenzako, mwanadada Wastara Juma ‘Stara’ mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu Swahiliwood unaweza kumwita Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 10:25 am on May 22, 2013  

    Zitto Kabwe ajitolea kugharamia music video ya “Dini Tumeletewa,” ya Afande Sele 

    Lengo la hii kazi yangu mpya DINI TUMELETEWA ni kumrudisha mwafrika kwenye uafrika wake ambao msingi wake ni UMOJA, USHIRIKIANO NA UPENDO, ambao kwa siku za hivi karibuni tumeshuhudia ukitoweka.Tumeona mapigano/mauaji ya itikadi za kidini Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 10:11 am on May 22, 2013  

    KUMEKUCHA BIG BROTHER!! WASANII WATAO-PERFORM SIKU YA UFUNGUZI 

    Show ya ufunguzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa itafanyika Jumapili hii, May 26 nchini Afrika Kusini.Usiku huo utawaonesha washiriki wote 28 watakaoanza safari ya miezi mitatu ya kuzisaka dola laki tatu za msimu wa nane wa Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 9:54 am on May 22, 2013  

    VIDEO: “Hot legs” dance ndani ya Sporah Show 

     

    “Hot legs” dance ndani ya Sporah Show

    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 8:09 am on May 22, 2013  

    Picha ya siku: Mpoki na Joti enzi hizoo! 

    Wasanii wa kundi la Original Komedi Mpoki "Mwarabu wa Dubai" na Joti aka "Asha Ngedere" aka.... jinsi walivyokuwa enzi hizo na walivyo sasa Source: richard-mwaikenda.blogspot.com. Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 9:30 am on May 21, 2013  

    Sugu aishangaa serikali kukaa kimya kuhusu bifu la JayDee na Clouds FM 

    Waziri Kivuli wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi akisoma hutuba ya kambi ya upinzani hivi punde amesema kwamba baadhi ya vyombo vya habari vikiwamo vituo vya redio vimekuwa vikiwanyonya wasanii nchini na kusababisha Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 8:49 am on May 21, 2013  

    Photos: Jokate aipeleka Kidoti Time mkoani kwake 

    Naona wiki hii ni ya vinara wa Miss Tanzania 2006. Wakati wema yupo katika uzinduzi wa nafasi yake mpya kama msemaji wa Darling Hair Tanzania, mrembo, mtangazaji na mjasiriamali Jokate Mwegelo alikua busy na "Kidoti Time" mkoani kwao Songea. Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 8:16 am on May 21, 2013  

    Sikiliza/download wimbo mpya wa H-Baba – “Funga Zipu” 

    Sikiliza/download wimbo mpya wa H-Baba - "Funga Zipu." Sijui wewe lakini kwa upande wangu naona imetulia. Vipi wewe unaionaje? Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 7:56 am on May 21, 2013  

    Photos: Wema aingia mkataba unaofanya awe staa anayeongoza kulipwa fedha nyingi 

    Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu Wema Sepetu amepata shavu la nguvu baada ya kuingia mkataba na kampuni nywele, Darling Hair Tanzania kuwa msemaji na muuza sura wao.Kwa mujibu wa fashion designer na meneja wa Wema, Martin Kadinda, Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 7:20 am on May 21, 2013  

    Mwanamke anayeiba waume, ajikuta “Nyeti” zake zimetoweka 

    Mwanamke mmoja nchini Zimbabwe amekumbwa na balaa la mwaka baada ya kupoteza VIUNGO VYAKE VYA SIRI ( Uke)....Mwanamke huyo alikumbwa na balaa hilo usiku wa kuamkia tarehe 29 mwezi wa nne mwaka huu...Kwa mujibu wa mtandao wa Standardmedia, Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 6:32 am on May 21, 2013  

    Video: G-Nako na Weusi, live performance at New Maisha Club 

     

    G-Nako na Weusi, live performance at New Maisha Club. G.Nako wakipafomu “Mama Yeyoo” na ngoma nyingine laivu ndani ya Maisha Club tarehe 19/5/2013

    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 12:07 pm on May 20, 2013  

    Photos: Cheki jumba la dollar milioni 10 alilonunua Jennifer Lopez 

    Picha za nyumba ya mwanamuziki Jeniffer Lopez 'JLo' aliyoinunua hivi karibuni kwa bei ya dollar 10mil; sawa na TShs bilioni 16, au Kenyan Shs milioni 840. Nyuma hiyo iliyosimama katika eneo la hekta 3, iko maeneo ya Hamptons, NY.. Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 11:30 am on May 20, 2013  

    Makala: Jinsi Nay wa Mitego na Roma walivyoweza kujitengeneza kama wasanii wa biashara 

    Miongoni mwa changamoto kubwa wanayokabiliana nayo wasanii wa hip hop nchini ni kuingiza fedha kutokana na kazi zao.Bahati mbaya njia pekee na za uhakika za kuingiza fedha kupitia muziki zilizobakia ni malipo ya show na yale yanayotokana Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 11:28 am on May 20, 2013  

    Chris Brown apata vitisho vya kuuawa 

    Muimbaji Chris Brown amejikuta aki ‘spend’ weekend yake akiwa katika hali ya wasiwasi baada ya kupata vitisho vya kumuondoa uhai kutoka kwa watu wasiofahamika.Kwa mujibu wa vyanzo, mwanasheria wa Chris, Mark Geragos alipokea simu Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 10:29 am on May 20, 2013  

    Mabig…ndoa hizi; na mpango wa kando 

    wanaume za watu nao wamezidi kutongoza tongoza kuliko hata single boys. nina rafiki yangu yaani yeye alitongozwa bila kujua kama yule mwanaume ni mume wa mtu.Ni mwaka wa pili sasa yuko nae, amempangia na gari kamnunulia na amemuajiri kwenye Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
  • Dreám 9:34 am on May 20, 2013  

    Naimba mapenzi, biashara inayonilipa – Suma Lee 

    Ukitaja wasanii wa Bongo Fleva waliowahi kuibuka na kupotea nchini huwezi kumweka kando Suma Lee kwa kuwa alipotea kwa kipindi kirefu masikioni mwa mashabiki, lakini sasa ameibuka tena.Msanii huyo ambaye jina lake halisi ni Ismail Sadiki ni Read more
    Permalink | Log in to leave a Comment
     
c
compose new post
j
next post/next comment
k
previous post/previous comment
r
reply
e
edit
o
show/hide comments
t
go to top
l
go to login
h
show/hide help
shift + esc
cancel